msani wa mziki wa hip hop TEMBA ambae kwa sasa anatamba na kibao cha FUNDI akiongea PRESENTER sylas denniss wa 91.3 fm shinyanga wa kipindi cha friday night show temba amefunguka kuhusu kulisichwa mikoba
msani wa mziki wa hip hop TEMBA ambae kwa sasa anatamba na kibao cha FUNDI akiongea PRESENTER sylas denniss wa 91.3 fm shinyanga wa kipindi cha friday night show temba amefunguka kuhusu kulisichwa mikoba
msani wa mziki wa hip hop TEMBA ambae kwa sasa anatamba na kibao cha FUNDI akiongea PRESENTER sylas denniss wa 91.3 fm shinyanga wa kipindi cha friday night show temba amefunguka kuhusu kulisichwa mikoba
msani TEMBA amesema kuwa kwa sasa saidi fela bado hajamkabizi lasimi mikoba ya kuogoza wasanii wa kundi la wakubwa na wanawe ,pia uongozi ni dhamana toka kwa mungu na nikipaji toka kwa mungu ,mimi nimeanza uongozi tangu kundi la WANAUME TIMKEI kwahiyo nina uzoefu mkubwa na siwezi kuteteleka na kumwangusha BOSS WANGU SAIDI FELA kwani mpaka sasa kuna wasanii ambao mpaka sasa wapo chini yangu kama chege na kalama
aidha TEMBA amezidi kueleza kuwa uongonzi nikitu kikubwa sana nanikipaji toka kwamungu pia uongozi unaitaji busala na hekima ili uweze kuongoza watu na yupo teyali kuongoza KUNDI HILO LA WAKUBWA NA WANAWE pia amesema mtu ukiwa ukipewa uongozi haipaswi kuvuka misingi na utaratibu ulio wekwa .....kwasasa temba nimshauli wa saidi fela ana husika na nidham ya wasanii
hajui atapewa upande upi kama atapewa USEMAJI MKUU AU BOSSI wa WAKUBWA NA WANAWE YEYE YUPO TEYALI KWA LOLOTE
msanii temba amesema hizi ni nyumba halali za wasanii wa yamoto band na zipo NYUMBA NNE nijasho lao walilo livuna kutokana na sauti zao
Post a Comment