Header Ads

atanzania wameaswa kuitunza na kuidumisha amani iliyopo kwani ndiyo msingi thabiti wa mafanikio na maendeleo ya nchin

Watanzania wameaswa kuitunza  na kuidumisha amani iliyopo kwani ndiyo msingi thabiti wa mafanikio na maendeleo ya nchin


Image result for picha ya shinyanga

Wakizungumza na KALI ZOTE BLOG kwa nyakati tofauti baadhi ya viongozi wa dini wa madhehebu mbalimbali mjini Shinyanga wamesema  moja ya wajibu wa viongozi wa dini ni kuwahamasisha waumini wao kuitunza,na kidumisha amani   kupitia mafundisho kwenye nyumba za ibada ili kuifanya nchi iendelee kuwa huru na salama
Wamesema  uhuru wa watu,maendeleo,usalama wa nchi  na  hatua zozote za  mafanikio  vinategemea zaidi hali ya amani na utulivu
                                         -----
Kwa upande wake muinjilisti marko Daud wa kanisa la k.k.k.t Ebeneza Shinyanga mjini amesema msingi wa kuimarisha na kudumisha amani inahitaji kila mwananchi kutii,na kuheshimu mamlaka  na sheria za nchi zilizopo, kwani hata mafundisho na vitabu vitakatifu vinaelekeza hivyo.
                                          ---.

Wamesema watanzania wanapaswa kujifunza kutokana na mifano ya nchi zenye vita,mizozo na migogoro ambapo  hazina maendeleo kiuchumi,kisiasa,kiutaaduni  na kijamii,lakini pia watu wake hawana uhuru wala amani. 

No comments