Header Ads

DJ Khaled na mchumba wake, Nicole Tuck wamebahatika kupata mtoto wa kiume Jumapili (Oct. 23) na tukio zima limeonekana kwenye mtandao wa Snapchat.

DJ Khaled na mchumba wake, Nicole Tuck wamebahatika kupata mtoto wa kiume Jumapili (Oct. 23) na tukio zima limeonekana kwenye mtandao wa Snapchat.
14709418_355338471478811_1749284650028630016_n
Khaled ametimiza ahadi yake aliyoitoa June mwaka huu kuwa ataonesha kwenye Snapchat wakati mkewe anajifungua iwapo madaktari watamruhusu.
Akizungumza kwenye kipindi cha Jimmy Kimmel, DJ huyo alisema, “I’m going to talk to the doctor. If the doctor says everything is gonna run smooth, meaning that we wanna make sure that the queen is right and my son is right, if it’s running smooth where I can just do my thing, I’ma Snapchat the whole thing.”
14701280_284930905240329_6329978867347881984_n
“Bless up fan luv the dr. said my queens water Broke .. It’s go time ! All praise to the most high🙏🏽 fan luv I’ll keep you posted !! I have to be honest I’m so excited and my nerves on another level smh .. I’m focused thoe. I LOVE YOU SO MUCH SON,” aliandika kwenye Instagram kabla ya mchumba wake kujifungua.
14730580_196548970783548_4369552267838226432_n

Jiunge na Bongo5.com sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga naYoutube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

No comments