Header Ads

watu 40 wameachiliwa.

Vyombo vya ulinzi vimesema vinaendelea kufuatilia sakata hilo


Gavana wa jimbo la Zamfara Kaskazini Magharibi mwa Nigeria Abdulaziz Yari amesema  kuwa raia 40 waliotekwa na watu wenye silaha wameachiliwa.
Watekaji hao ambao ni wafugaji walisema wangewaachia mateka iwapo ng'ombe wao walikamatwa wangearudishwa.
Gavana huyo amethibitisha kuwa baadhi ya ng'ombe waliotekwa wamerudishwa kwa wafugaji hao.
Alipoulizwa kwanini watekaji hao hawajakamatwa licha ya kuuawa kwa mateka, gavana huyo amejibu kuwa majadiliano ya amani yalipelekea kuokoa maisha ya watu hao 40.

No comments