Header Ads

wards ya ndembezi kukomeha utoro kwenye shule zote za katani hapo



wards ya ndembezi kukomeha utoro kwenye shule zote za katani hapo




Kikao cha kamati ya maendeleo (WADC) kata ya Ndembezi katika manispaa ya Shinyanga kimeweka mikakati  ya uboreshaji wa elimu katika shule zote za msingi na sekondari zilizopo katika kata hiyo.




Mikakati hiyo ni pamoja na kukomesha utoro kwa wanafunzi,kuchangia chakula cha wanafunzi, na walimu kuhakikisha wanatoa mazoezi na majaribio ya  marakwamara ili kuongeza kiwango cha ufaulu.






Diwani wa kata ya Ndembezi DAVID NKULILA amewaomba wazazi na walezi kuonyesha ushirikiano katika utekelezaji wa mikakati hiyo kwa kuhakikisha wanotoa michango yote inayotakiwa kwa mujibu wa makubaliano.

No comments