Header Ads

Wananchi wa mtaa wa miogoni kata ya mbugani mkoani tabora wanaomba serikali kuwatengea sehem ya kutunzia taka




Image result for guba la taka



Wananchi wa mtaa wa miogoni kata ya mbugani mkoani tabora wanaomba serikali kuwatengea sehem ya kutunzia taka  ili waondokane na kero ya uchafu wanao ipata katika mtaa wao.


Wakizunguma na KALI ZOTE BLOG leo , wananchi wa mtaa wa miogoni   wamesema kuwa kawasasa hawana sehemu ya kutupa taka haliambayo  inasababisha  kutupa taka pembezoni mwa leri ielekeayo kigoma, hali ambayo si salama kwa mazingila na afya zao, hivyo wanaiomba  serikali kuanzia ngazi ya mtaa hadi serikali kuu kuwa wa saidia kutatua jambo hili kwani limekuwa ni mzozo kwao lini watapa sehem hiyo.

Kwa upande wake mwenye kiti wa mtaa wa miogoni kata ya mbugani BW ELICK SHABANI amekanusha madai hayo ya wananchi wake kudai kuwa hakuna sehem ya  kutupa taka amesema kuwa kwasasa maeneo teyali ya mesha tengwa nayapo mawili ni kalibia na kanisa la F.P.C.T rufita lilopo mtaa wamiogoni mkabala na shule ya msingi miemba , hivyo amewataka wananchi kujijengea tamaduni za kutunza mazingila yao wanapoishi  .

Aidha ametoa onyo kali kwa wananchi  wote wa mtaa wa miogoni kata ya mbuga kwa wale wote watabainika kutupa taka pembezoni mwa leri  hatua kali za kisheria zita chukuliwa dhidi yao ikiwemo faini ya shilingi elfu hamsini au kupelekwa mahakamani.


 WASILIANA NASI  KWA SIM NAMBA 0742692079


No comments