Header Ads

Wazazi na walezi mkoani tabora, wa kumbushwa kuwa sajili watoto wao katika maktaba ya mkoa


Image result for maktaba ya tabora




Wazazi na walezi mkoani tabora, wa kumbushwa kuwa sajili watoto wao katika maktaba ya mkoa ili wapate maarifa na mbinu mbalimbali za kujibu mitihani yao  ya kitaifa.

Akizungumza na redio uhai fm ofisini hapo  ,MKUTUBI MSAIDIZI      BI     TATU MIRAMBO, amesema kuwa mwamko wa wazazi na walezi juu ya faida zitokanazo na maktaba bado hawazi tambui,  hivyo ina pelekea wanafunzi kuto kuuzulia katika maktaba ya mkoa, pia wazazi na walezi wanaomba kutambua umuhim wa maktaba kwa wanafunzi  .


Kwaupande mwalimu wa  shule ya msingi mageleza bi KHADIJA MGAWE HUSENI amsema kuwa maktaba inamchango mkubwa kwa jamii na  wanafunzi kwa ujumla, hivyo wazazi na walezi tuwajengee watoto kwenda  kusoma katika maktaba ya mkoa kwani inamanufa katika elim Maktaba ya mkoa wa tabora ilianzishwa mwaka 1974, maktaba ya mkoa ni maktaba ya uma ambayo inatoa uduma kwa jamii nzima bila kubangua umri wala dini na kwasasa inakubwa na changamoto ya ukosefu wa vitabu vya mtahara wa sasa

No comments