Header Ads

CHANZO CHA USALITI

Image result for hasara ya usaliti kwa mpenzi wako



1;TAMAA
Kuna watu wana hulka tu binafsi ya kutoweza kuwa na mpenzi mmoja hivyo ni vema kufahamiana zaidi kabla ya kuamua kuingia katika mahusiano fanya uchunguzi kwanza kwamtu unae ingianae kwenye mausiano pia jiulize huyo mtu atakuwa wa maisha au wamuda , kuna watu wengine wanaingia kwenye mausiano na mtu kutokana kazi aliyo nayo au wadhifa alio nao hii ni atari kwani kila kitu nidhama

Wanasayansi pia wamethibitisha kuwa inawezekana kabisa mtoto kurithi tabia mojawapo toka kwa mzazi. 2;SIFA AU UMAARUFU Hii hutokea kwa aina ya watu ambao huona sifa kuwa na wapenzi tofauti na wanaume kutaka kuonyesha ana nguvu na hata mamlaka juu ya wengine. 

 Utasikia mimi pale tayari na hamna kitu akihadofthia wenzake. Na pia wanawake hona fahari kuwa na watu maarufu,wenye fedha,cheo na yeye kujigamba khwa mtu flan maarufu kamuweka mfukoni.

 3; KUTOLIDHISHWA KIMAHABA

Hali hii hutokea zaidi kwa wanawake kwa sababu ya maumbile yao kiasili ingawa pia wanaume pia hutokea. 
Katika hili wote mnatakiwa kuwa wabunifu na kujua mpenzi wako anapendelea nini,mjitahidi kuwa wasafi na mkiwa mnataka kukutana basi muwe wote na utulivu wa akili na bila kusahau kula vyakula vya kuongeza nguvu mwilini. 4;TAMAA Hapa tunaongelea mahitaji mbalimbali ya kimaisha kama fedha,nguo,chakula,cheo nk.

 5;KULIPIZA KISASI
 Image result for hasara ya usaliti kwa mpenzi wako


 Hili hutokea mmoja wa wapenzi anapogundua mwenzi wake kamsaliti basi naye huamua kama moja ya njia ya kupunguza machungu ni kutoka nje ya mahusiano na hapa utakuta anaweza fanya mapenzi na hata rafiki wa karibu kwa lengo la kumkomoa

6' MAPENZI YA KUIGA
 watu wengi hawana mapenzi ya kutoka moyoni badala yake wanakuwa wakuiga kwenye runiga au bongo movi haya mapenzi hamuwezi fika popote badala yake yatakuwa ya migogoro kilasiku 


katika maisha kabla ujaamua kufanya kitu chocho jifikilie kwanza kabla ujafanya maamuzi ya kuingia kwenye mausiano ,watu wengi wanapotiza maisha kujiua au kumdhulu mtu kwasababu ya usaliti ,
fikilia kwanza kabla ujaingia kwenye ulimwengu wa kimapenzi ukiona mda wako si sahii kuingia kwenye mapenzi sylas denniss na kushauli acha kwani utapoteza mda badala yake fanya vitu ambavyo vitakuwa kwako vina faida kubwa

nakama unaona nimuda sahii kuingia kwenye mausiano basi ingia. katika maisha ya mwanadamu tuna jua kuwa kilamtu anasifa zayule anae muitaji kama unaona huyo ulienae anasifa unazo taka basi azishanae safari hiyo ila mimi sylas dennis nakushauli usimdaganye huyo ulienae kwachochote wala usipende kujisifia kwa vitu ambavyo hauna uwezo navyo mwaidi kitu ambacho unavyo viweza kumfanyia 

Image result for hasara ya usaliti kwa mpenzi wako

maoni yakoa yatume kenye namba 0742692079

No comments