Header Ads

washangiliaji wa mwadui fc mkoani shinyanga wafrahi simba kukosa point tatu

Image result for simba vs mwadui



kuanza kwa mchezo wa Mwadui FC dhidi ya Simba katika uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga, vikosi vya wachezaji wa timu zote mbili wamewekwa hadharani.
katika mechi SIMBA FC na MWADUI FC mbili vumbi imetokea katika viwanja kambarage simba kaunguruma kwa sauti kubwa ili kumtisha mwadui fc lakini mwadui fc hawaja tishwa na mngurumo wasimba 
SIMBA FC NA MWADUI FC YATOKA SALE KWA MABAO 02-02
washinyanga wafrahi simba kukosa point tatu

https://sylasdennis.blogspot.com/2018/02/ikiwa-umebaki-muda-mfupi-kabla-ya.html#more




No comments