Header Ads

waumini wa kanisa la kanani mwanza road tabora ni wateule wa mungu


Image result for evangelistic assemblies of god Tanzania


Waumini wakanisa la evenjelistic assembles of god  Tanzania kanani mwanza road tabora waombwa kuishi maisha ya utakatifu sikuzote za maisha yao kwani wao ni wateule wa mungu.


Akihubili katika kanisa la kanani  e.a.g.t kwenye maziwa na hasali mwinjiristi GEORGE KAMLENGA kutoka kanisa la E.A.G.T sayuni wilayani urambo ,amewataka waunini wakanisa hilo kuishi maisha ya utakatifu na kuepuka kuishi maisha ya watu wamataifa

Bw KAMLENGA wahasa waumini wakanisa hilo huku akinukuu maandiko matakatifu kutoka kenye biblia WAKOROSAI 3.12. 15  amesema kuwa huwezi kuitwa mteule wamugu kama hauna upendo,uvumilivu,utuwema,kujaliana na kutembeleana kama hauna vitu hivyo uwezi kujita mwana mteule wa mungu.


Aidha amewahasa waumini wa kanisa hilo kuwa na upendo kwa watu wote maana amri ya kwanza ni upendo hivyo wajenge tabia ya kupendana wao na wapende hata watu ambao hawaja mwamini yesu kuwa bwana na mwokozi wao ili watu wataifa waige tabia njema kwa wateule wa mungu.

No comments