Header Ads

waandishi habari 14 wa tupwa gerezani


Image result for gerezani


Mahakama ya nchini Uturuki imetoa adhabu ya kifungo gerezani kwa waandishi habari 14 wa gazeti kuu la upinzani la nchini humo "Cumhuriyet" kwa makosa ya kuyaunga mkono makundi ya kigaidi.

 Mashirika ya kutetea haki za binadamu ikiwa pamoja na la Amnesty International na la waandishi wa habari wasio na mipaka wamelaumu vikali mashtaka dhidi ya waandishi hao huku kukiwa na wasiwasi mkubwa juu ya kubanwa uhuru wa vyombo vya habari nchini Uturuki.

 Kati waandishi 17 wa gazeti hilo waliofikishwa mahakamani watatu waliachiwa huru. Mhariri mkuu wa gazeti hilo Murat Sabuncu amepewa adhabu ya kifungo cha miaka 7 na nusu jela. Hata hivyo waandishi hao wanatazamiwa kukata rufaa.

simba ya zidi kutamba 
angalia hapa chini maneno ya mpoki




No comments