Header Ads

wananchi wa kata ya kalunde kijiji cha uramba mkoani tabora wanaiomba serikali kuwataturia changamoto

Image result for VIJIJI VYA TABORA

wananchi wa kata ya kalunde kijiji cha uramba mkoani tabora wanaiomba serikali kuwataturia changamoto mbalimbalia zikiwemo za maji safi na salama kukosekana , barabara na zahanati kwan kwao imekuwa changamoto kubwa.

wakizungumza na mwandishi hodari syalas denniss wamesemakuwa kwa sasa wanajihisi serikali imewatenga


sikiriza hapa chini yaliyotokea katika kijiji cha uramba SYLAS TV



No comments