RPC MKOA WA SHINYANGA AKITOA UDHIBITISHO WA TUKIO LA AJARI ANGALIA VIDEO HII HAPA CHINI
Watu 18 wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya magari mawili kugongana katika kijiji cha Nsalala kata ya Tinde tarafa ya itwangi wilaya ya shinyanga vijijini,usiku wa kuamkia leo.
Post a Comment