Spika wa zamani wa bunge la Tanzania Samwel Sitta amefariki dunia akipokea matibabu nchini Ujerumani.
Spika wa zamani wa bunge la Tanzania Samwel Sitta amefariki dunia akipokea matibabu nchini Ujerumani.
Spika wa zamani wa bunge la Tanzania Samwel Sitta amefariki dunia akipokea matibabu nchini Ujerumani.
Bw Sitta alikuwa mbunge mstaafu wa jimbo la Urambo lililopo mkoani Tabora.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu, Bw Sitta amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Technical University of Munich nchini Ujerumani.
Amekuwa akipokea matibabu tangu mwezi uliopita.
Rais wa Tanzania John Magufuli ametuma salamu za rambirambi na kusema amepokea kwa mshtuko taarifa za kifo cha spika huyo.
"Nitamkumbuka Mzee Sitta kwa uchapakazi wake, uzalendo wake na tabia yake ya kusimamia ukweli katika kipindi chote alichokuwa kiongozi katika ngazi mbalimbali za siasa na Serikali," amesema Rais Magufuli.
Sitta alikuwa Spika wa Bunge kuanzia mwaka 2005 hadi mwaka 2010 na alikuwa pia Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba.
Aliwahi kuwa waziri katika wizara mbalimbali kwa vipindi tofauti.
Bw Sitta alikuwa miongoni mwa wanachama zaidi ya 42 wa CCM waliochukua fomu za kugombea urais mwaka j
Samuel Sitta | |
---|---|
Minister of Transport | |
In office 24 January 2015 – 5 November 2015 | |
President | Jakaya Kikwete |
Preceded by | Harrison Mwakyembe |
4th Minister of East African Cooperation | |
In office 28 November 2010 – 24 January 2015 | |
Preceded by | Diodorus Kamala |
Succeeded by | Harrison Mwakyembe |
5th Speaker of the National Assembly | |
In office 26 December 2005 – 16 July 2010 | |
Preceded by | Pius Msekwa |
Succeeded by | Anne Makinda |
Member of Parliament for Urambo East | |
In office December 2005 – July 2015 | |
Preceded by | Amani Karavina |
Succeeded by | Margaret Sitta |
Personal details | |
Born |
18 December 1942
Died 7th November 2016
|
Nationality | Tanzanian |
Political party | CCM |
Spouse(s) | Margaret Sitta |
Alma mater | |
Positions | MD, Tanzania Investment Centre (1996-2005) |
Post a Comment